Mwanzo 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Siku hiyo Yehova akafanya agano na Abramu,+ akisema: “Nitaupatia uzao wako nchi hii,+ kutoka mto wa Misri mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati:+ Mwanzo 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 na Waamori na Wakanaani na Wagirgashi na Wayebusi.”+ Waamuzi 11:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “‘Na sasa Yehova Mungu wa Israeli ndiye aliyewafukuza Waamori kutoka mbele ya watu wake Israeli,+ nawe kwa upande wako, unataka kuwafukuza.
18 Siku hiyo Yehova akafanya agano na Abramu,+ akisema: “Nitaupatia uzao wako nchi hii,+ kutoka mto wa Misri mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati:+
23 “‘Na sasa Yehova Mungu wa Israeli ndiye aliyewafukuza Waamori kutoka mbele ya watu wake Israeli,+ nawe kwa upande wako, unataka kuwafukuza.