26 Kwa maana Heshboni lilikuwa jiji la Sihoni.+ Yeye alikuwa mfalme wa Waamori,+ naye ndiye aliyepigana na mfalme wa Moabu zamani na kuichukua nchi yake yote kutoka mkononi mwake mpaka Arnoni.+
22 “Nawe ukawapa falme+ na vikundi vya watu, ukawagawia fungu kwa fungu;+ hivi kwamba wakamiliki nchi ya Sihoni,+ nchi ya mfalme wa Heshboni,+ na nchi ya Ogu+ mfalme wa Bashani.+