Mwanzo 30:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi yeye akasema: “Kijakazi wangu Bilha+ huyu. Lala naye, apate kuzaa magotini pangu ili kwamba mimi, naam mimi, nipate watoto kwake.”+ Mwanzo 35:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Pindi moja, Israeli alipokuwa akikaa+ katika nchi hiyo, Rubeni alienda akalala na Bilha suria wa baba yake, naye Israeli akapata kusikia juu ya hilo.+ Basi Yakobo alikuwa na wana kumi na wawili. Mwanzo 46:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Hao ndio wana wa Bilha,+ ambaye Labani alimpa Raheli binti yake. Mwishowe akamzalia Yakobo hao; nafsi zote zilikuwa 7.
3 Basi yeye akasema: “Kijakazi wangu Bilha+ huyu. Lala naye, apate kuzaa magotini pangu ili kwamba mimi, naam mimi, nipate watoto kwake.”+
22 Pindi moja, Israeli alipokuwa akikaa+ katika nchi hiyo, Rubeni alienda akalala na Bilha suria wa baba yake, naye Israeli akapata kusikia juu ya hilo.+ Basi Yakobo alikuwa na wana kumi na wawili.
25 Hao ndio wana wa Bilha,+ ambaye Labani alimpa Raheli binti yake. Mwishowe akamzalia Yakobo hao; nafsi zote zilikuwa 7.