Mwanzo 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo Sarai akamwambia Abramu: “Tafadhali sasa! Yehova amenifunga nisizae watoto.+ Tafadhali, lala na mjakazi wangu. Labda ninaweza kupata watoto kutokana naye.”+ Basi Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.+ Mwanzo 50:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na Yosefu akapata kuona wana wa Efraimu wa kizazi cha tatu,+ pia wana wa Makiri,+ mwana wa Manase. Walizaliwa juu ya magoti ya Yosefu.+ Ruthu 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kisha wanawake majirani+ wakampa jina, wakisema: “Naomi amepata mwana.” Nao wakamwita Obedi.+ Yeye ndiye baba ya Yese,+ baba ya Daudi.
2 Ndipo Sarai akamwambia Abramu: “Tafadhali sasa! Yehova amenifunga nisizae watoto.+ Tafadhali, lala na mjakazi wangu. Labda ninaweza kupata watoto kutokana naye.”+ Basi Abramu akaisikiliza sauti ya Sarai.+
23 Na Yosefu akapata kuona wana wa Efraimu wa kizazi cha tatu,+ pia wana wa Makiri,+ mwana wa Manase. Walizaliwa juu ya magoti ya Yosefu.+
17 Kisha wanawake majirani+ wakampa jina, wakisema: “Naomi amepata mwana.” Nao wakamwita Obedi.+ Yeye ndiye baba ya Yese,+ baba ya Daudi.