Mwanzo 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kisha Mungu akamwambia Abrahamu: “Usiruhusu jambo lolote ambalo Sara anazidi kukuambia liwe lisilokupendeza juu ya huyo mvulana na juu ya kijakazi wako. Sikiliza sauti yake, kwa sababu ule utakaoitwa uzao wako utakuwa kupitia Isaka.+ Waefeso 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Jitiisheni kwa mmoja na mwenzake+ katika kumwogopa Kristo.
12 Kisha Mungu akamwambia Abrahamu: “Usiruhusu jambo lolote ambalo Sara anazidi kukuambia liwe lisilokupendeza juu ya huyo mvulana na juu ya kijakazi wako. Sikiliza sauti yake, kwa sababu ule utakaoitwa uzao wako utakuwa kupitia Isaka.+