13 Baada ya hayo mtu aliyekuwa ameponyoka akaja na kumwambia Abramu Mwebrania.+ Wakati huo alikuwa akikaa kati ya miti mikubwa ya Mamre yule Mwamori,+ ndugu ya Eshkoli na ndugu ya Aneri;+ nao walikuwa washirika wa Abramu.
6 Kwa maana sijakaa katika nyumba tangu siku nilipowaleta wana wa Israeli wapande kutoka Misri mpaka leo hii,+ bali sikuzote nilitembea+ katika hema+ na katika maskani.+