Kutoka 40:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Musa alipoisimamisha maskani, aliweka vikalio+ vyake chini na kuweka viunzi vyake vya mbao+ na kuweka miti+ yake na kusimamisha nguzo+ zake. Kutoka 40:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nalo wingu+ likaanza kulifunika hema la mkutano, na utukufu wa Yehova ukaijaza maskani. Matendo 7:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 “Mababu zetu walikuwa na hema la ushahidi nyikani, kama vile alivyotoa maagizo alipokuwa akisema na Musa ili kulifanya kulingana na mfano aliokuwa ameuona.+
18 Musa alipoisimamisha maskani, aliweka vikalio+ vyake chini na kuweka viunzi vyake vya mbao+ na kuweka miti+ yake na kusimamisha nguzo+ zake.
44 “Mababu zetu walikuwa na hema la ushahidi nyikani, kama vile alivyotoa maagizo alipokuwa akisema na Musa ili kulifanya kulingana na mfano aliokuwa ameuona.+