Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na Yehova akamwambia Musa: “Sema na Haruni ndugu yako, asiwe akija nyakati zote katika mahali patakatifu+ ndani ya pazia,+ mbele ya kifuniko kilicho juu ya Sanduku, asije akafa;+ kwa sababu nitaonekana katika wingu+ juu ya kifuniko+ hicho.

  • Hesabu 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Sasa katika siku ya kusimamisha maskani+ wingu lilifunika maskani ya hema la Ushuhuda,+ lakini wakati wa jioni kitu kilichoonekana kama moto+ kilikaa juu ya maskani hiyo mpaka asubuhi.

  • Hesabu 16:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Na ikawa kwamba kusanyiko lilipokuwa limekutanika dhidi ya Musa na Haruni, ndipo walipogeuka kulielekea hema la mkutano; na, tazama! wingu likalifunika, nao utukufu wa Yehova ukaanza kutokea.+

  • 1 Wafalme 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na ikawa kwamba makuhani walipoondoka mahali patakatifu, wingu+ likaijaza nyumba ya Yehova.

  • Ufunuo 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na patakatifu pakajawa na moshi kwa sababu ya utukufu wa Mungu+ na kwa sababu ya nguvu zake, na hakuna yeyote aliyeweza kuingia katika patakatifu mpaka yalipomalizika yale mapigo saba+ ya wale malaika saba.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki