Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 40:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Nalo wingu+ likaanza kulifunika hema la mkutano, na utukufu wa Yehova ukaijaza maskani.

  • 1 Wafalme 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na makuhani+ hawakuweza kusimama ili kufanya huduma+ yao kwa sababu ya lile wingu, kwa maana utukufu+ wa Yehova uliijaza nyumba ya Yehova.+

  • Isaya 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na viegemeo+ vya milango vikaanza kutetemeka kutokana na sauti ya yule aliyekuwa akiita, na mwishowe nyumba ikajaa moshi.+

  • Ezekieli 44:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye sasa akanileta kupitia lango la kaskazini mpaka mbele ya ile Nyumba, nipate kuona, na, tazama! utukufu wa Yehova ulikuwa umeijaza nyumba ya Yehova.+ Nami nikaanguka kifudifudi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki