Kutoka 40:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nalo wingu+ likaanza kulifunika hema la mkutano, na utukufu wa Yehova ukaijaza maskani. 1 Wafalme 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na makuhani+ hawakuweza kusimama ili kufanya huduma+ yao kwa sababu ya lile wingu, kwa maana utukufu+ wa Yehova uliijaza nyumba ya Yehova.+ Isaya 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na viegemeo+ vya milango vikaanza kutetemeka kutokana na sauti ya yule aliyekuwa akiita, na mwishowe nyumba ikajaa moshi.+ Ezekieli 44:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye sasa akanileta kupitia lango la kaskazini mpaka mbele ya ile Nyumba, nipate kuona, na, tazama! utukufu wa Yehova ulikuwa umeijaza nyumba ya Yehova.+ Nami nikaanguka kifudifudi.+
11 Na makuhani+ hawakuweza kusimama ili kufanya huduma+ yao kwa sababu ya lile wingu, kwa maana utukufu+ wa Yehova uliijaza nyumba ya Yehova.+
4 Na viegemeo+ vya milango vikaanza kutetemeka kutokana na sauti ya yule aliyekuwa akiita, na mwishowe nyumba ikajaa moshi.+
4 Naye sasa akanileta kupitia lango la kaskazini mpaka mbele ya ile Nyumba, nipate kuona, na, tazama! utukufu wa Yehova ulikuwa umeijaza nyumba ya Yehova.+ Nami nikaanguka kifudifudi.+