Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na huyu akamwita yule na kusema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova wa majeshi.+ Utukufu wake umejaa katika dunia yote.”

  • Ezekieli 3:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Basi nikaondoka na kwenda kwenye nchi tambarare ya bondeni, na, tazama! utukufu wa Yehova ulikuwa umesimama huko,+ kama utukufu niliouona kando ya mto Kebari,+ nami nikaanguka kifudifudi.+

  • Ezekieli 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na utukufu wa Yehova+ ukainuka juu kutoka kwa makerubi mpaka kwenye mlango wa nyumba, nayo nyumba hiyo ikajaa wingu+ hatua kwa hatua, na ua wenyewe ulikuwa umejaa wangavu wa utukufu wa Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki