Ezekieli 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na utukufu wa Yehova+ ukainuka kutoka kwa makerubi mpaka kwenye kizingiti cha mlango wa nyumba hiyo, na hatua kwa hatua nyumba hiyo ikajaa wingu,+ na ua ulikuwa umejaa mwangaza wa utukufu wa Yehova.
4 Na utukufu wa Yehova+ ukainuka kutoka kwa makerubi mpaka kwenye kizingiti cha mlango wa nyumba hiyo, na hatua kwa hatua nyumba hiyo ikajaa wingu,+ na ua ulikuwa umejaa mwangaza wa utukufu wa Yehova.