Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 40:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Musa alishindwa kuingia ndani ya hema la mkutano kwa sababu wingu liliendelea kulifunika, na utukufu wa Yehova ukajaa katika hema hilo.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mara tu wapiga tarumbeta na waimbaji walipoanza kumsifu na kumshukuru Yehova kwa pamoja, na milio ya tarumbeta, matoazi, na ala nyingine za muziki zilipoanza kusikika walipokuwa wakimsifu Yehova, “kwa maana yeye ni mwema; upendo wake mshikamanifu unadumu milele,”+ ndipo nyumba hiyo, nyumba ya Yehova, ikajaa wingu.+

  • Ezekieli 43:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ndipo roho ikaniinua na kuniingiza kwenye ua wa ndani, nami nikaona kwamba hekalu lilikuwa limejaa utukufu wa Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki