Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na utukufu wa Yehova+ ukainuka juu kutoka kwa makerubi mpaka kwenye mlango wa nyumba, nayo nyumba hiyo ikajaa wingu+ hatua kwa hatua, na ua wenyewe ulikuwa umejaa wangavu wa utukufu wa Yehova.

  • Ezekieli 43:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na utukufu+ wa Yehova ukaingia ndani ya Nyumba kupitia lango ambalo upande wake wa mbele ulielekea mashariki.+

  • Matendo 7:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Lakini yeye, akiwa amejaa roho takatifu, akakaza macho mbinguni, akaona utukufu wa Mungu na wa Yesu akiwa amesimama kwenye mkono wa kuume+ wa Mungu,

  • 2 Wakorintho 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na sisi sote,+ wakati tunapotoa kama vioo mrudisho wa utukufu wa Yehova+ tukiwa na nyuso zisizo na utaji, tunageuzwa+ na kuwa katika mfano+ uleule kutoka utukufu mpaka utukufu,+ sawasawa kabisa na anavyofanya Yehova+ aliye Roho.

  • Ufunuo 21:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na jiji lile halihitaji jua wala mwezi kuliangaza, kwa maana utukufu wa Mungu ulilitia nuru,+ na taa yake ilikuwa yule Mwana-Kondoo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki