4 Na utukufu wa Yehova+ ukainuka juu kutoka kwa makerubi mpaka kwenye mlango wa nyumba, nayo nyumba hiyo ikajaa wingu+ hatua kwa hatua, na ua wenyewe ulikuwa umejaa wangavu wa utukufu wa Yehova.
55 Lakini yeye, akiwa amejaa roho takatifu, akakaza macho mbinguni, akaona utukufu wa Mungu na wa Yesu akiwa amesimama kwenye mkono wa kuume+ wa Mungu,
18 Na sisi sote,+ wakati tunapotoa kama vioo mrudisho wa utukufu wa Yehova+ tukiwa na nyuso zisizo na utaji, tunageuzwa+ na kuwa katika mfano+ uleule kutoka utukufu mpaka utukufu,+ sawasawa kabisa na anavyofanya Yehova+ aliye Roho.