Ezekieli 44:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo Yehova akaniambia: “Lango hili, litakaa likiwa limefungwa. Halitafunguliwa, na hakuna mtu wa vivi hivi tu atakayeliingilia; kwa maana Yehova mwenyewe, Mungu wa Israeli,+ ameliingilia, nalo litakaa likiwa limefungwa.
2 Ndipo Yehova akaniambia: “Lango hili, litakaa likiwa limefungwa. Halitafunguliwa, na hakuna mtu wa vivi hivi tu atakayeliingilia; kwa maana Yehova mwenyewe, Mungu wa Israeli,+ ameliingilia, nalo litakaa likiwa limefungwa.