2 Ndipo Yehova akaniambia: “Lango hili litabaki likiwa limefungwa. Halipaswi kufunguliwa, na hakuna mwanadamu yeyote atakayelitumia kuingia; kwa maana mimi Yehova, Mungu wa Israeli, nimeingia kupitia lango hilo,+ basi linapaswa kubaki likiwa limefungwa.