19 Nao makerubi sasa wakainua mabawa yao na kuinuka kutoka duniani+ mbele ya macho yangu. Walipoenda, magurudumu yale pia yalikuwa karibu, kando yao; nao wakaanza kusimama katika mwingilio wa mashariki wa lango la nyumba ya Yehova, na utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa juu yao, kutoka juu.