19 Sasa makerubi wakainua juu mabawa yao na kuinuka kutoka duniani huku nikitazama. Yale magurudumu pia yalikuwa kando yao walipoondoka. Wakasimama katika kizingiti cha lango la mashariki la nyumba ya Yehova, na utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa juu yao.+