Ufunuo 15:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na patakatifu pakajawa na moshi kwa sababu ya utukufu wa Mungu+ na kwa sababu ya nguvu zake, na hakuna yeyote aliyeweza kuingia katika patakatifu mpaka yalipomalizika yale mapigo saba+ ya wale malaika saba.
8 Na patakatifu pakajawa na moshi kwa sababu ya utukufu wa Mungu+ na kwa sababu ya nguvu zake, na hakuna yeyote aliyeweza kuingia katika patakatifu mpaka yalipomalizika yale mapigo saba+ ya wale malaika saba.