Kutoka 40:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Naye Musa hakuweza kuingia ndani ya hema la mkutano, kwa sababu wingu+ lilikaa juu yake na utukufu wa Yehova uliijaza maskani.+ 2 Mambo ya Nyakati 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 na makuhani hawakuweza kusimama ili kuhudumu kwa sababu ya lile wingu;+ kwa maana utukufu+ wa Yehova uliijaza nyumba ya Mungu wa kweli. Ezekieli 44:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye sasa akanileta kupitia lango la kaskazini mpaka mbele ya ile Nyumba, nipate kuona, na, tazama! utukufu wa Yehova ulikuwa umeijaza nyumba ya Yehova.+ Nami nikaanguka kifudifudi.+
35 Naye Musa hakuweza kuingia ndani ya hema la mkutano, kwa sababu wingu+ lilikaa juu yake na utukufu wa Yehova uliijaza maskani.+
14 na makuhani hawakuweza kusimama ili kuhudumu kwa sababu ya lile wingu;+ kwa maana utukufu+ wa Yehova uliijaza nyumba ya Mungu wa kweli.
4 Naye sasa akanileta kupitia lango la kaskazini mpaka mbele ya ile Nyumba, nipate kuona, na, tazama! utukufu wa Yehova ulikuwa umeijaza nyumba ya Yehova.+ Nami nikaanguka kifudifudi.+