Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 40:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Naye Musa hakuweza kuingia ndani ya hema la mkutano, kwa sababu wingu+ lilikaa juu yake na utukufu wa Yehova uliijaza maskani.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 na makuhani hawakuweza kusimama ili kuhudumu kwa sababu ya lile wingu;+ kwa maana utukufu+ wa Yehova uliijaza nyumba ya Mungu wa kweli.

  • Ezekieli 44:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye sasa akanileta kupitia lango la kaskazini mpaka mbele ya ile Nyumba, nipate kuona, na, tazama! utukufu wa Yehova ulikuwa umeijaza nyumba ya Yehova.+ Nami nikaanguka kifudifudi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki