10 Kisha ikawa kwamba mara tu baada ya Haruni kusema na kusanyiko zima la wana wa Israeli, wakageuka na kutazama kuelekea nyikani, na, tazama! utukufu wa Yehova ukaonekana katika wingu.+
4 Na utukufu wa Yehova+ ukainuka juu kutoka kwa makerubi mpaka kwenye mlango wa nyumba, nayo nyumba hiyo ikajaa wingu+ hatua kwa hatua, na ua wenyewe ulikuwa umejaa wangavu wa utukufu wa Yehova.