18Ndipo kusanyiko lote la wana wa Israeli likakutanika Shilo,+ nao wakaweka huko lile hema la mkutano,+ kwa maana sasa nchi ilikuwa imetiishwa mbele yao.+
16 ‘Kuanzia ile siku niliyowatoa watu wangu Israeli kutoka Misri, sikuchagua+ jiji kutoka katika makabila yote ya Israeli ili kujenga nyumba+ ili jina langu+ likae humo; lakini nitamchagua Daudi awe juu ya watu wangu Israeli.’+