Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 19:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Huo ndio uliokuwa urithi ambao Eleazari kuhani na Yoshua mwana wa Nuni na vichwa vya upande wa baba vya makabila ya wana wa Israeli waligawanya+ kuwa miliki kwa njia ya kura katika Shilo+ mbele za Yehova, kwenye mwingilio wa hema la mkutano.+ Basi wakaacha kuigawanya nchi.

  • Yoshua 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kisha wakasema nao huko Shilo+ katika nchi ya Kanaani, wakiwaambia: “Yehova alitoa amri kupitia Musa kwamba sisi tupewe majiji ya kukaa, pamoja na viwanja vyake vya malisho kwa ajili ya wanyama wetu wa kufugwa.”+

  • Yoshua 22:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kisha wana wa Rubeni na wana wa Gadi na nusu ya kabila la Manase wakarudi na kwenda zao kutoka kwa wale wana wengine wa Israeli, kutoka Shilo, lililo katika nchi ya Kanaani, ili waende katika nchi ya Gileadi,+ katika nchi ya miliki yao ambamo walikuwa wamepewa makao kwa agizo la Yehova kupitia Musa.+

  • Waamuzi 21:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mwishowe wakasema: “Tazama! Kuna sherehe ya Yehova kutoka mwaka mpaka mwaka katika Shilo,+ ambalo liko upande wa kaskazini wa Betheli, kuelekea upande wa mashariki wa njia kuu inayopanda kutoka Betheli kwenda Shekemu+ na kuelekea upande wa kusini wa Lebona.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki