Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ndipo kusanyiko lote la wana wa Israeli likakutanika Shilo,+ nao wakaweka huko lile hema la mkutano,+ kwa maana sasa nchi ilikuwa imetiishwa mbele yao.+

  • Waamuzi 21:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mwishowe wakasema: “Tazama! Kuna sherehe ya Yehova kutoka mwaka mpaka mwaka katika Shilo,+ ambalo liko upande wa kaskazini wa Betheli, kuelekea upande wa mashariki wa njia kuu inayopanda kutoka Betheli kwenda Shekemu+ na kuelekea upande wa kusini wa Lebona.”

  • 1 Samweli 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na mtu huyo akawa akipanda kutoka jiji lake mwaka baada ya mwaka ili kusujudu+ na kutoa dhabihu kwa Yehova wa majeshi huko Shilo.+ Na hapo ndipo wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi,+ walikuwa makuhani kwa Yehova.+

  • Yeremia 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “‘Hata hivyo, nendeni, sasa, mahali pangu palipokuwa katika Shilo,+ ambapo nilifanya jina langu likae hapo pale mwanzoni,+ na kuona nilivyopafanya kwa sababu ya ubaya wa watu wangu Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki