Hesabu 34:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Haya ndiyo majina ya wanaume watakaowagawia ninyi nchi iwe miliki, Eleazari+ kuhani na Yoshua mwana wa Nuni.+ Yoshua 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi hili ndilo fungu la urithi ambalo wana wa Israeli walichukua katika nchi ya Kanaani,+ ambalo Eleazari kuhani na Yoshua mwana wa Nuni na vichwa vya baba za makabila ya wana wa Israeli waliwapa kuwa urithi.+
17 “Haya ndiyo majina ya wanaume watakaowagawia ninyi nchi iwe miliki, Eleazari+ kuhani na Yoshua mwana wa Nuni.+
14 Basi hili ndilo fungu la urithi ambalo wana wa Israeli walichukua katika nchi ya Kanaani,+ ambalo Eleazari kuhani na Yoshua mwana wa Nuni na vichwa vya baba za makabila ya wana wa Israeli waliwapa kuwa urithi.+