Hesabu 32:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Sasa wana wa Rubeni+ na wana wa Gadi+ wakawa na mifugo mingi, mingi sana, kwa kweli. Nao wakaanza kuiona nchi ya Yazeri+ na nchi ya Gileadi, na, tazama! mahali hapo palikuwa mahali pa mifugo. Kumbukumbu la Torati 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na Makiri+ nimempa Gileadi.+ Yoshua 13:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 na eneo lao likawa Yazeri+ na majiji yote ya Gileadi+ na nusu ya nchi ya wana wa Amoni+ hadi Aroeri,+ lililo mbele ya Raba;+ Zaburi 60:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Gileadi ni yangu na Manase ni yangu,+Na Efraimu ni ngome ya aliye mkuu wangu;Yuda ni fimbo yangu ya kiongozi.+
32 Sasa wana wa Rubeni+ na wana wa Gadi+ wakawa na mifugo mingi, mingi sana, kwa kweli. Nao wakaanza kuiona nchi ya Yazeri+ na nchi ya Gileadi, na, tazama! mahali hapo palikuwa mahali pa mifugo.
25 na eneo lao likawa Yazeri+ na majiji yote ya Gileadi+ na nusu ya nchi ya wana wa Amoni+ hadi Aroeri,+ lililo mbele ya Raba;+
7 Gileadi ni yangu na Manase ni yangu,+Na Efraimu ni ngome ya aliye mkuu wangu;Yuda ni fimbo yangu ya kiongozi.+