36 Toka Aroeri,+ jiji lililo kando ya ukingo wa bonde la mto la Arnoni, na lile jiji lililo katika bonde la mto, mpaka Gileadi, hakukuwa na mji wowote uliokuwa juu sana kwetu.+ Yehova Mungu wetu aliitia yote mkononi mwetu.
26 Wakati Israeli walipokuwa wakikaa katika Heshboni na miji yake ya kandokando+ na katika Aroeri+ na miji yake ya kandokando na katika majiji yote yaliyo kando ya kingo za Arnoni kwa miaka mia tatu, kwa nini, basi, hamkuinyakua wakati huo?+