Waamuzi 11:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Waisraeli walipokuwa wakikaa katika jiji la Heshboni na miji yake,*+ Aroeri na miji yake, na katika majiji yote yaliyo ukingoni mwa Mto Arnoni kwa miaka 300, kwa nini hamkuyakomboa wakati huo?+
26 Waisraeli walipokuwa wakikaa katika jiji la Heshboni na miji yake,*+ Aroeri na miji yake, na katika majiji yote yaliyo ukingoni mwa Mto Arnoni kwa miaka 300, kwa nini hamkuyakomboa wakati huo?+