Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 21:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Basi Israeli akayachukua majiji hayo yote, naye Israeli akaanza kukaa katika majiji yote ya Waamori,+ katika Heshboni+ na miji yake yote ya kandokando.

  • Kumbukumbu la Torati 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “‘Ondokeni, mshike njia na kuvuka bonde la mto la Arnoni.+ Tazama, nimemtia mkononi mwako Sihoni+ mfalme wa Heshboni, yule Mwamori. Kwa hiyo anza kumiliki nchi yake, na kupigana vita naye.

  • Kumbukumbu la Torati 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi Yehova akaniambia, ‘Usimwogope,+ kwa maana nitamtia yeye na watu wake wote na nchi yake mkononi mwako; nawe utamtendea kama vile ulivyomtendea Sihoni+ mfalme wa Waamori, aliyekuwa akikaa kule Heshboni.’

  • Yoshua 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Sihoni+ mfalme wa Waamori, aliyekaa katika Heshboni,+ akitawala kutoka Aroeri,+ lililokuwa kwenye ukingo wa bonde la mto la Arnoni,+ na katikati ya bonde la mto, na nusu ya Gileadi hadi bonde la mto la Yaboki,+ mpaka wa wana wa Amoni,

  • Yoshua 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 na majiji yote ya Sihoni mfalme wa Waamori, aliyetawala katika Heshboni, hadi kwenye mpaka wa wana wa Amoni;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki