11 Kwa maana Ogu mfalme wa Bashani ndiye tu aliyebaki kati ya mabaki ya Warefaimu.+ Tazama! Sanduku lake lilikuwa sanduku la chuma. Je, haliko kule Raba+ kwa wana wa Amoni? Urefu wake ni mikono tisa, na upana wake ni mikono minne, kwa mkono wa mwanadamu.
11Na ikawa kwamba mwanzoni mwa mwaka,+ wakati ambapo wafalme hufanya mashambulizi,+ Daudi akamtuma Yoabu na watumishi wake pamoja naye na Israeli wote, ili wawaangamize wana wa Amoni+ na kuzingira Raba,+ Daudi alipokuwa anakaa Yerusalemu.