20 Na ikawa kwamba mwanzoni mwa mwaka,+ wakati ambapo wafalme hufanya mashambulizi,+ Yoabu akaongoza jeshi la mapambano,+ akaiharibu nchi ya wana wa Amoni, akaenda kuzingira Raba,+ Daudi alipokuwa anakaa katika Yerusalemu; na Yoabu akapiga+ Raba na kulibomoa.