1 Mambo ya Nyakati 20:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mwanzoni mwa mwaka,* wakati ambapo wafalme huenda vitani, Yoabu+ aliwaongoza wanajeshi vitani, wakaiharibu nchi ya Waamoni; Yoabu akaenda na kuzingira Raba,+ lakini Daudi akabaki Yerusalemu.+ Yoabu alishambulia jiji la Raba na kulibomoa kabisa.+
20 Mwanzoni mwa mwaka,* wakati ambapo wafalme huenda vitani, Yoabu+ aliwaongoza wanajeshi vitani, wakaiharibu nchi ya Waamoni; Yoabu akaenda na kuzingira Raba,+ lakini Daudi akabaki Yerusalemu.+ Yoabu alishambulia jiji la Raba na kulibomoa kabisa.+