2 Samweli 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na ikawa kwamba mwanzoni mwa mwaka,+ wakati ambapo wafalme hufanya mashambulizi,+ Daudi akamtuma Yoabu na watumishi wake pamoja naye na Israeli wote, ili wawaangamize wana wa Amoni+ na kuzingira Raba,+ Daudi alipokuwa anakaa Yerusalemu. Mhubiri 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia;+ wakati wa vita+ na wakati wa amani.+
11 Na ikawa kwamba mwanzoni mwa mwaka,+ wakati ambapo wafalme hufanya mashambulizi,+ Daudi akamtuma Yoabu na watumishi wake pamoja naye na Israeli wote, ili wawaangamize wana wa Amoni+ na kuzingira Raba,+ Daudi alipokuwa anakaa Yerusalemu.