Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Sihoni+ mfalme wa Waamori, aliyekaa katika Heshboni,+ akitawala kutoka Aroeri,+ lililokuwa kwenye ukingo wa bonde la mto la Arnoni,+ na katikati ya bonde la mto, na nusu ya Gileadi hadi bonde la mto la Yaboki,+ mpaka wa wana wa Amoni,

  • Waamuzi 11:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi mfalme wa wana wa Amoni akawaambia wale wajumbe wa Yeftha: “Ni kwa sababu Israeli walichukua nchi yangu walipopanda kutoka Misri,+ kuanzia Arnoni+ mpaka Yaboki na mpaka Yordani.+ Basi sasa irudishe kwa amani.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki