2 Sihoni+ mfalme wa Waamori, aliyekaa katika Heshboni,+ akitawala kutoka Aroeri,+ lililokuwa kwenye ukingo wa bonde la mto la Arnoni,+ na katikati ya bonde la mto, na nusu ya Gileadi hadi bonde la mto la Yaboki,+ mpaka wa wana wa Amoni,
13 Basi mfalme wa wana wa Amoni akawaambia wale wajumbe wa Yeftha: “Ni kwa sababu Israeli walichukua nchi yangu walipopanda kutoka Misri,+ kuanzia Arnoni+ mpaka Yaboki na mpaka Yordani.+ Basi sasa irudishe kwa amani.”