6 Kwa maana sijakaa katika nyumba tangu siku nilipowaleta wana wa Israeli wapande kutoka Misri mpaka leo hii,+ bali sikuzote nilitembea+ katika hema+ na katika maskani.+
5 ‘Kuanzia ile siku nilipowatoa watu wangu katika nchi ya Misri, sikuchagua jiji kutoka katika makabila yote ya Israeli ili kujenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ ili liwe hapo, wala sikumchagua mwanadamu awe kiongozi juu ya watu wangu Israeli.+