1 Mambo ya Nyakati 8:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Na wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kushika* upinde, nao walikuwa na wana wengi na wajukuu wengi, jumla yao 150. Hao wote walikuwa wazao wa Benjamini.
40 Na wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kushika* upinde, nao walikuwa na wana wengi na wajukuu wengi, jumla yao 150. Hao wote walikuwa wazao wa Benjamini.