Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 18:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 na Zela,+ Ha-elefu na Yebusi, yaani, Yerusalemu,+ Gibea+ na Kiriathi; majiji kumi na manne na makao yake.

      Huo ndio uliokuwa urithi wa wana wa Benyamini kulingana na familia zao.+

  • 1 Wafalme 2:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Mwishowe mfalme akatuma watu na kumwita Shimei,+ akamwambia: “Jijengee nyumba katika Yerusalemu, nawe lazima ukae humo wala usitoke kwenda mahali hapa na pale.

  • Nehemia 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Pia, sehemu ya wana wa Yuda na sehemu ya wana wa Benyamini walikaa Yerusalemu.+ Kati ya wana wa Yuda kulikuwa na Athaya mwana wa Uzia mwana wa Zekaria mwana wa Amaria mwana wa Shefatia mwana wa Mahalaleli wa wana wa Perezi;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki