Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 38:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mwishowe ikatokea kwamba mara tu alipourudisha mkono wake, tazama ndugu yake akatoka. Mzalishaji akasema: “Unamaanisha nini kwa hili, kwamba umejipasulia msamba?” Basi akaitwa jina lake Perezi.+

  • Hesabu 26:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nao wana wa Yuda wakawa, kulingana na familia zao: Wa Shela+ familia ya Washela; wa Perezi+ familia ya Waperezi; wa Zera+ familia ya Wazera.

  • Ruthu 4:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi hivi ndivyo vizazi vya Perezi:+ Perezi akamzaa Hezroni;+

  • 1 Mambo ya Nyakati 27:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Baadhi ya wana wa Perezi+ aliye kichwa cha wakuu wote wa vikundi vya utumishi walikuwa kwa ajili ya mwezi wa kwanza.

  • Mathayo 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yuda akamzaa Perezi+ na Zera kwa Tamari;

      Perezi akamzaa Hezroni;+

      Hezroni akamzaa Ramu;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki