Mwanzo 46:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na wana wa Yuda+ walikuwa Eri+ na Onani+ na Shela+ na Perezi+ na Zera.+ Lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani.+ Na wana wa Perezi wakawa ni Hezroni+ na Hamuli.+ Ruthu 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nyumba yako na iwe kama nyumba ya Perezi, ambaye Tamari alimzalia Yuda,+ kutokana na uzao ambao Yehova atakupa kutoka kwa huyu mwanamke kijana.”+ 1 Mambo ya Nyakati 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na Tamari+ binti-mkwe wake ndiye aliyemzalia Perezi+ na Zera. Wana wote wa Yuda walikuwa watano. Luka 3:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 mwana wa Aminadabu,+mwana wa Arni,+mwana wa Hezroni,+mwana wa Perezi,+mwana wa Yuda,+
12 Na wana wa Yuda+ walikuwa Eri+ na Onani+ na Shela+ na Perezi+ na Zera.+ Lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani.+ Na wana wa Perezi wakawa ni Hezroni+ na Hamuli.+
12 Nyumba yako na iwe kama nyumba ya Perezi, ambaye Tamari alimzalia Yuda,+ kutokana na uzao ambao Yehova atakupa kutoka kwa huyu mwanamke kijana.”+