Mwanzo 29:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Mara hii nitamsifu Yehova.” Kwa hiyo akamwita jina lake Yuda.+ Kisha akaacha kuzaa. Ruthu 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nyumba yako na iwe kama nyumba ya Perezi, ambaye Tamari alimzalia Yuda,+ kutokana na uzao ambao Yehova atakupa kutoka kwa huyu mwanamke kijana.”+ 1 Mambo ya Nyakati 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na Tamari+ binti-mkwe wake ndiye aliyemzalia Perezi+ na Zera. Wana wote wa Yuda walikuwa watano. Mathayo 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yuda akamzaa Perezi+ na Zera kwa Tamari;Perezi akamzaa Hezroni;+Hezroni akamzaa Ramu;+
35 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Mara hii nitamsifu Yehova.” Kwa hiyo akamwita jina lake Yuda.+ Kisha akaacha kuzaa.
12 Nyumba yako na iwe kama nyumba ya Perezi, ambaye Tamari alimzalia Yuda,+ kutokana na uzao ambao Yehova atakupa kutoka kwa huyu mwanamke kijana.”+