11 Basi Yuda akamwambia Tamari binti-mkwe wake: “Kaa ukiwa mjane katika nyumba ya baba yako mpaka Shela mwanangu akue.”+ Kwa maana alisema moyoni mwake: “Huenda yeye pia akafa kama ndugu zake.”+ Basi Tamari akaenda, naye akaendelea kukaa katika nyumba ya baba yake.+