Mambo ya Walawi 22:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini ikiwa binti ya kuhani atakuwa mjane au kutalikiwa akiwa hana uzao, naye arudi nyumbani kwa baba yake kama katika ujana wake,+ anaweza kula sehemu ya mkate wa baba yake;+ lakini hakuna mgeni yeyote atakayeula.
13 Lakini ikiwa binti ya kuhani atakuwa mjane au kutalikiwa akiwa hana uzao, naye arudi nyumbani kwa baba yake kama katika ujana wake,+ anaweza kula sehemu ya mkate wa baba yake;+ lakini hakuna mgeni yeyote atakayeula.