Ruthu 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 je, mngewangojea mpaka wawe wakubwa? Je, mngejitenga kwa ajili yao hivi kwamba msipate kuwa wake za waume wengine? Hapana, binti zangu, kwa maana nina uchungu sana kwa sababu yenu, kwamba mkono wa Yehova umenigeukia.”+ Mathayo 22:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Mwalimu, Musa alisema, ‘Mtu yeyote akifa bila kuwa na watoto, ndugu yake amwoe mke wake na kumwinulia ndugu yake uzao.’+
13 je, mngewangojea mpaka wawe wakubwa? Je, mngejitenga kwa ajili yao hivi kwamba msipate kuwa wake za waume wengine? Hapana, binti zangu, kwa maana nina uchungu sana kwa sababu yenu, kwamba mkono wa Yehova umenigeukia.”+
24 “Mwalimu, Musa alisema, ‘Mtu yeyote akifa bila kuwa na watoto, ndugu yake amwoe mke wake na kumwinulia ndugu yake uzao.’+