5 “Ikiwa ndugu wanakaa pamoja na mmoja wao awe amekufa bila kuwa na mwana wa kiume, mke wa yule aliyekufa asiwe wa mwanamume mgeni wa nje. Ndugu-mkwe wake anapaswa kumwendea, naye lazima amchukue awe mke wake na kufanya ndoa ya ndugu-mkwe pamoja naye.+
13 Lala hapa usiku wa leo, na asubuhi ikiwa atakukomboa,+ sawa! Basi na akukomboe. Lakini asipotaka kukukomboa, nitakukomboa, mimi mwenyewe, kama anavyoishi Yehova.+ Endelea kulala mpaka asubuhi.”
19 “Mwalimu, Musa alituandikia kwamba ndugu ya mtu akifa na aache mke lakini hakuacha mtoto, ndugu yake+ anapaswa kumchukua mke huyo na kumwinulia ndugu yake uzao kutoka kwa mwanamke huyo.+