Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 38:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi Yuda akamwambia Onani: “Lala na mke wa ndugu yako, ufanye ndoa ya ndugu-mkwe pamoja naye umwinulie uzao ndugu yako.”+

  • Kumbukumbu la Torati 25:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Ikiwa ndugu wanakaa pamoja na mmoja wao awe amekufa bila kuwa na mwana wa kiume, mke wa yule aliyekufa asiwe wa mwanamume mgeni wa nje. Ndugu-mkwe wake anapaswa kumwendea, naye lazima amchukue awe mke wake na kufanya ndoa ya ndugu-mkwe pamoja naye.+

  • Ruthu 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini Naomi akasema: “Rudini, binti zangu. Kwa nini mwende na mimi? Je, bado nina wana ndani yangu, na je, watakuwa waume zenu?+

  • Ruthu 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lala hapa usiku wa leo, na asubuhi ikiwa atakukomboa,+ sawa! Basi na akukomboe. Lakini asipotaka kukukomboa, nitakukomboa, mimi mwenyewe, kama anavyoishi Yehova.+ Endelea kulala mpaka asubuhi.”

  • Marko 12:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Mwalimu, Musa alituandikia kwamba ndugu ya mtu akifa na aache mke lakini hakuacha mtoto, ndugu yake+ anapaswa kumchukua mke huyo na kumwinulia ndugu yake uzao kutoka kwa mwanamke huyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki