Kumbukumbu la Torati 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako,+ nawe unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kuapa kwa jina lake.+ Waamuzi 8:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo akasema: “Hao walikuwa ndugu zangu, wana wa mama yangu. Kama Yehova anavyoishi, ikiwa mngeliwahifadhi hai, singeliwaua ninyi.”+ 1 Samweli 14:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Kwa maana, kama anavyoishi Yehova, ambaye ni Mkombozi wa Israeli, hata kama iko katika Yonathani mwanangu, yeye atakufa hakika.”+ Lakini hakuna yeyote aliyemjibu kati ya watu wote. 2 Wakorintho 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Sasa namwita Mungu awe shahidi+ juu ya nafsi yangu mwenyewe ya kuwa ni kwa kuwahurumia ninyi+ kwamba bado sijaja Korintho.
13 Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako,+ nawe unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kuapa kwa jina lake.+
19 Kwa hiyo akasema: “Hao walikuwa ndugu zangu, wana wa mama yangu. Kama Yehova anavyoishi, ikiwa mngeliwahifadhi hai, singeliwaua ninyi.”+
39 Kwa maana, kama anavyoishi Yehova, ambaye ni Mkombozi wa Israeli, hata kama iko katika Yonathani mwanangu, yeye atakufa hakika.”+ Lakini hakuna yeyote aliyemjibu kati ya watu wote.
23 Sasa namwita Mungu awe shahidi+ juu ya nafsi yangu mwenyewe ya kuwa ni kwa kuwahurumia ninyi+ kwamba bado sijaja Korintho.