Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako,+ nawe unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kuapa kwa jina lake.+

  • Waamuzi 8:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa hiyo akasema: “Hao walikuwa ndugu zangu, wana wa mama yangu. Kama Yehova anavyoishi, ikiwa mngeliwahifadhi hai, singeliwaua ninyi.”+

  • 1 Samweli 14:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Kwa maana, kama anavyoishi Yehova, ambaye ni Mkombozi wa Israeli, hata kama iko katika Yonathani mwanangu, yeye atakufa hakika.”+ Lakini hakuna yeyote aliyemjibu kati ya watu wote.

  • 2 Wakorintho 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Sasa namwita Mungu awe shahidi+ juu ya nafsi yangu mwenyewe ya kuwa ni kwa kuwahurumia ninyi+ kwamba bado sijaja Korintho.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki