Waroma 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana Mungu, ambaye ninamtolea utumishi mtakatifu kwa roho yangu kuhusiana na ile habari njema juu ya Mwana wake, ni shahidi+ wangu wa jinsi ninavyowataja sikuzote katika sala zangu bila kuacha,+ Wafilipi 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana Mungu ni shahidi wangu kuhusu jinsi ninavyowatamani sana ninyi nyote kwa namna ya upendo mwororo+ kama alio nao Kristo Yesu.
9 Kwa maana Mungu, ambaye ninamtolea utumishi mtakatifu kwa roho yangu kuhusiana na ile habari njema juu ya Mwana wake, ni shahidi+ wangu wa jinsi ninavyowataja sikuzote katika sala zangu bila kuacha,+
8 Kwa maana Mungu ni shahidi wangu kuhusu jinsi ninavyowatamani sana ninyi nyote kwa namna ya upendo mwororo+ kama alio nao Kristo Yesu.