Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 38:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi Yuda akamwambia Tamari binti-mkwe wake: “Kaa ukiwa mjane katika nyumba ya baba yako mpaka Shela mwanangu akue.”+ Kwa maana alisema moyoni mwake: “Huenda yeye pia akafa kama ndugu zake.”+ Basi Tamari akaenda, naye akaendelea kukaa katika nyumba ya baba yake.+

  • Kumbukumbu la Torati 25:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Ikiwa ndugu wanakaa pamoja na mmoja wao awe amekufa bila kuwa na mwana wa kiume, mke wa yule aliyekufa asiwe wa mwanamume mgeni wa nje. Ndugu-mkwe wake anapaswa kumwendea, naye lazima amchukue awe mke wake na kufanya ndoa ya ndugu-mkwe pamoja naye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki