5 Halafu Boazi akasema: “Siku utakayolinunua shamba hilo mkononi mwa Naomi, utalinunua pia kutoka kwa Ruthu Mmoabu, mke wa mwanamume aliyekufa, ili umwinulie jina mwanamume huyo katika urithi wake.”+
19 “Mwalimu, Musa alituandikia kwamba ndugu ya mtu akifa na aache mke lakini hakuacha mtoto, ndugu yake+ anapaswa kumchukua mke huyo na kumwinulia ndugu yake uzao kutoka kwa mwanamke huyo.+