5 “Ikiwa ndugu wanakaa pamoja na mmoja wao awe amekufa bila kuwa na mwana wa kiume, mke wa yule aliyekufa asiwe wa mwanamume mgeni wa nje. Ndugu-mkwe wake anapaswa kumwendea, naye lazima amchukue awe mke wake na kufanya ndoa ya ndugu-mkwe pamoja naye.+
28 wakisema: “Mwalimu, Musa+ alituandikia, ‘Ndugu ya mtu akifa akiwa na mke, lakini hakuwa na mtoto, ndugu yake+ anapaswa kumchukua mke huyo na kumwinulia ndugu yake uzao kutoka kwa mwanamke huyo.’+