Mathayo 22:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Mwalimu, Musa alisema, ‘Mtu yeyote akifa bila kuwa na watoto, ndugu yake amwoe mke wake na kumwinulia ndugu yake uzao.’+ Marko 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Mwalimu, Musa alituandikia kwamba ndugu ya mtu akifa na aache mke lakini hakuacha mtoto, ndugu yake+ anapaswa kumchukua mke huyo na kumwinulia ndugu yake uzao kutoka kwa mwanamke huyo.+
24 “Mwalimu, Musa alisema, ‘Mtu yeyote akifa bila kuwa na watoto, ndugu yake amwoe mke wake na kumwinulia ndugu yake uzao.’+
19 “Mwalimu, Musa alituandikia kwamba ndugu ya mtu akifa na aache mke lakini hakuacha mtoto, ndugu yake+ anapaswa kumchukua mke huyo na kumwinulia ndugu yake uzao kutoka kwa mwanamke huyo.+