Ruthu 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Naye akawa akiwajibu: “Msiniite Naomi. Niiteni Mara, kwa maana Mweza-Yote+ amenifanya kuwa na uchungu sana.+ 1 Samweli 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi Samweli akamwambia maneno hayo yote, wala hakumficha lolote. Ndipo yeye akasema: “Ni Yehova. Na afanye yaliyo mema machoni pake.”+ Ayubu 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mnionyeshe kibali kidogo, mnionyeshe kibali kidogo, enyi rafiki zangu,+Kwa kuwa mkono wenyewe wa Mungu umenigusa.+
20 Naye akawa akiwajibu: “Msiniite Naomi. Niiteni Mara, kwa maana Mweza-Yote+ amenifanya kuwa na uchungu sana.+
18 Basi Samweli akamwambia maneno hayo yote, wala hakumficha lolote. Ndipo yeye akasema: “Ni Yehova. Na afanye yaliyo mema machoni pake.”+
21 Mnionyeshe kibali kidogo, mnionyeshe kibali kidogo, enyi rafiki zangu,+Kwa kuwa mkono wenyewe wa Mungu umenigusa.+